Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Sasa ulimwengu huu unahukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu+ huu atatupwa nje.+

  • Yohana 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 kisha kuhusu hukumu,+ kwa sababu mtawala wa ulimwengu huu amehukumiwa.+

  • Waebrania 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi, kwa kuwa “watoto wachanga” ni washiriki wa damu na mwili, yeye pia vivyo hivyo aliyashiriki mambo hayohayo,+ ili kupitia kifo+ chake apate kumwangamiza+ yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi;+

  • Ufunuo 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 lakini hakushinda, wala mahali hapakupatikana mbinguni kwa ajili yao tena.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki