Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 14:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Sitasema mengi tena kamwe pamoja nanyi, kwa maana mtawala+ wa ulimwengu anakuja. Naye hana uwezo juu yangu,+

  • Yohana 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 kisha kuhusu hukumu,+ kwa sababu mtawala wa ulimwengu huu amehukumiwa.+

  • Matendo 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 kufungua macho+ yao, kuwageuza kutoka katika giza+ kuingia katika nuru+ na kutoka katika mamlaka ya Shetani+ na kumgeukia Mungu, kusudi wapokee msamaha wa dhambi+ na urithi+ kati ya wale waliotakaswa+ kwa imani yao kwangu.’

  • 2 Wakorintho 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ambao katikati yao mungu wa mfumo huu wa mambo+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru+ ya habari njema yenye utukufu+ juu ya Kristo, aliye mfano+ wa Mungu, isipenyeze mwangaza.+

  • Waefeso 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo+ wa ulimwengu huu, kulingana na mtawala+ wa mamlaka ya hewa, roho+ ambayo sasa hutenda katika wana wa kutotii.+

  • 1 Yohana 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tunajua tunatokana na Mungu,+ lakini ulimwengu mzima unakaa katika nguvu za yule mwovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki