2 Kwa maana, tazama! giza+ litaifunika dunia, na weusi mzito utavifunika vikundi vya mataifa; lakini Yehova ataangaza juu yako, na utukufu wake utaonekana juu yako.+
12 Kwa hiyo Yesu akawaambia tena, akisema: “Mimi ndiye nuru+ ya ulimwengu. Yule anayenifuata hatatembea kamwe katika giza,+ bali atakuwa na nuru ya uzima.”