Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mika 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ‘Basi ninyi mtakuwa na usiku,+ kusiweko maono;+ nanyi mtakuwa na giza, ili msifanye uaguzi. Nalo jua litatua juu ya manabii, na mchana utakuwa mweusi juu yao.+

  • Yohana 12:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Nimekuja nikiwa nuru ulimwenguni,+ ili kila mtu anayeniamini asipate kukaa katika giza.+

  • 1 Petro 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+

  • 1 Yohana 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tena, ninawaandikia ninyi amri mpya, uhakika ambao ni wa kweli kumhusu yeye na kuwahusu ninyi, kwa sababu giza+ linapitilia mbali na nuru+ ya kweli tayari inaangaza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki