Yohana 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi huu ndio msingi wa hukumu, kwamba nuru+ imekuja ulimwenguni+ lakini watu wamelipenda giza kuliko nuru,+ kwa maana matendo yao yalikuwa maovu. Yohana 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Yesu akawaambia tena, akisema: “Mimi ndiye nuru+ ya ulimwengu. Yule anayenifuata hatatembea kamwe katika giza,+ bali atakuwa na nuru ya uzima.” Yohana 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Maadamu nimo ulimwenguni, mimi ndiye nuru+ ya ulimwengu.”
19 Basi huu ndio msingi wa hukumu, kwamba nuru+ imekuja ulimwenguni+ lakini watu wamelipenda giza kuliko nuru,+ kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
12 Kwa hiyo Yesu akawaambia tena, akisema: “Mimi ndiye nuru+ ya ulimwengu. Yule anayenifuata hatatembea kamwe katika giza,+ bali atakuwa na nuru ya uzima.”