Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 51:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Nikazieni uangalifu mimi, enyi watu wangu; nanyi kikundi changu cha taifa,+ nitegeeni sikio. Kwa maana sheria itatoka kwangu,+ nami nitaustarehesha uamuzi wangu wa hukumu kama nuru kwa vikundi vya watu.+

  • Isaya 60:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana, tazama! giza+ litaifunika dunia, na weusi mzito utavifunika vikundi vya mataifa; lakini Yehova ataangaza juu yako, na utukufu wake utaonekana juu yako.+

  • Waefeso 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa maana wakati mmoja ninyi mlikuwa giza,+ bali sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana. Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru,

  • Wakolosai 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeye alitukomboa kutoka katika mamlaka+ ya giza, akatuhamisha+ na kutuingiza katika ufalme+ wa Mwana wa upendo wake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki