4 “Nikazieni uangalifu mimi, enyi watu wangu; nanyi kikundi changu cha taifa,+ nitegeeni sikio. Kwa maana sheria itatoka kwangu,+ nami nitaustarehesha uamuzi wangu wa hukumu kama nuru kwa vikundi vya watu.+
2 Kwa maana, tazama! giza+ litaifunika dunia, na weusi mzito utavifunika vikundi vya mataifa; lakini Yehova ataangaza juu yako, na utukufu wake utaonekana juu yako.+