Zaburi 119:105 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Neno lako ni taa ya mguu wangu,+Na nuru kwa barabara yangu.+ Methali 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+ na sheria ni nuru,+ nayo makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima,+ Mathayo 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Tazama! Mtumishi wangu+ ambaye nilimchagua, mpendwa wangu,+ ambaye nafsi yangu ilimkubali! Nitatia roho yangu juu yake,+ na yaliyo haki atayafanya kuwa wazi kwa mataifa.
18 “Tazama! Mtumishi wangu+ ambaye nilimchagua, mpendwa wangu,+ ambaye nafsi yangu ilimkubali! Nitatia roho yangu juu yake,+ na yaliyo haki atayafanya kuwa wazi kwa mataifa.