Ayubu 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakati alipoangaza taa yake juu ya kichwa changu,Nilipotembea katikati ya giza kwa nuru yake;+ Zaburi 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana wewe mwenyewe utaiwasha taa yangu, Ee Yehova;+Mungu wangu atafanya giza langu liangaze.+ Waefeso 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi mambo yote yanayokaripiwa+ yanafunuliwa na nuru, kwa maana kila jambo linalofunuliwa+ ni nuru.
28 Kwa maana wewe mwenyewe utaiwasha taa yangu, Ee Yehova;+Mungu wangu atafanya giza langu liangaze.+
13 Basi mambo yote yanayokaripiwa+ yanafunuliwa na nuru, kwa maana kila jambo linalofunuliwa+ ni nuru.