Zaburi 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana wewe mwenyewe utaiwasha taa yangu, Ee Yehova;+Mungu wangu atafanya giza langu liangaze.+ Zaburi 119:105 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Neno lako ni taa ya mguu wangu,+Na nuru kwa barabara yangu.+
28 Kwa maana wewe mwenyewe utaiwasha taa yangu, Ee Yehova;+Mungu wangu atafanya giza langu liangaze.+