23 “ ‘Katika siku hiyo,’ asema Yehova wa majeshi, ‘nitakuchukua, Ee Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ mtumishi wangu,’ asema Yehova; ‘nami nitakuweka kama pete ya muhuri,+ kwa sababu ni wewe nimechagua,’+ asema Yehova wa majeshi.”+
13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza+ Mtumishi+ wake, Yesu, ambaye ninyi mlimpeleka+ na kumkana mbele ya uso wa Pilato, alipokuwa ameamua kumfungua.+