Isaya 52:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tazama! Mtumishi wangu+ atatenda kwa ufahamu.+ Atakuwa na cheo cha juu na hakika yeye atainuliwa na kutukuzwa sana.+ Mathayo 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Tazama! Mtumishi wangu+ ambaye nilimchagua, mpendwa wangu,+ ambaye nafsi yangu ilimkubali! Nitatia roho yangu juu yake,+ na yaliyo haki atayafanya kuwa wazi kwa mataifa. Yohana 4:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akawaambia: “Chakula+ changu ni mimi kufanya mapenzi+ yake aliyenituma na kuimaliza kazi yake.+ Yohana 6:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 kwa sababu nimeshuka kutoka mbinguni+ kufanya, si mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenituma.+
13 Tazama! Mtumishi wangu+ atatenda kwa ufahamu.+ Atakuwa na cheo cha juu na hakika yeye atainuliwa na kutukuzwa sana.+
18 “Tazama! Mtumishi wangu+ ambaye nilimchagua, mpendwa wangu,+ ambaye nafsi yangu ilimkubali! Nitatia roho yangu juu yake,+ na yaliyo haki atayafanya kuwa wazi kwa mataifa.
34 Yesu akawaambia: “Chakula+ changu ni mimi kufanya mapenzi+ yake aliyenituma na kuimaliza kazi yake.+