23 Kwa hiyo akaendelea kuwaambia: “Ninyi mnatoka kwenye makao ya chini; mimi ninatoka kwenye makao ya juu.+ Ninyi mnatoka katika ulimwengu+ huu; mimi sitoki katika ulimwengu huu.+
42 Yesu akawaambia: “Kama Mungu angekuwa ndiye Baba yenu, mngenipenda,+ kwa maana nilitoka kwa Mungu nami nipo hapa.+ Wala sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe hata kidogo, lakini Huyo alinituma.+