Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+

  • Yohana 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo, Yesu akajibu, akawaambia: “Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Mwana hawezi kufanya hata jambo moja kwa uamuzi wake mwenyewe, ila tu lile analomwona Baba akifanya.+ Kwa maana mambo yoyote yale ambayo Yule hufanya, mambo hayo Mwana pia hufanya vivyo hivyo.

  • Wagalatia 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini wakati kamili ulipofika,+ Mungu alimtuma Mwana wake,+ aliyezaliwa na mwanamke+ na aliyekuja kuwa chini ya sheria,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki