Mathayo 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Kulikuwa pia na sauti+ kutoka mbinguni iliyosema: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa,+ ambaye nimemkubali.”+ Yohana 8:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Yesu akawaambia: “Kama Mungu angekuwa ndiye Baba yenu, mngenipenda,+ kwa maana nilitoka kwa Mungu nami nipo hapa.+ Wala sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe hata kidogo, lakini Huyo alinituma.+
17 Tazama! Kulikuwa pia na sauti+ kutoka mbinguni iliyosema: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa,+ ambaye nimemkubali.”+
42 Yesu akawaambia: “Kama Mungu angekuwa ndiye Baba yenu, mngenipenda,+ kwa maana nilitoka kwa Mungu nami nipo hapa.+ Wala sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe hata kidogo, lakini Huyo alinituma.+