18 “Tazama! Mtumishi wangu+ ambaye nilimchagua, mpendwa wangu,+ ambaye nafsi yangu ilimkubali! Nitatia roho yangu juu yake,+ na yaliyo haki atayafanya kuwa wazi kwa mataifa.
17 Kwa maana alipokea kutoka kwa Mungu Baba heshima na utukufu,+ wakati maneno ya namna hii yalipotolewa kwake kwa utukufu wenye fahari: “Huyu ni mwanangu, mpendwa wangu, ambaye mimi mwenyewe nimemkubali.”+