Zaburi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Acheni nirejezee agizo la Yehova;Yeye ameniambia: “Wewe ni mwanangu;+Mimi, leo, nimekuwa baba yako.+ Mathayo 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Alipokuwa bado akisema, tazama! wingu jangavu liliwafunika, na, tazama! kulikuwa na sauti kutoka katika lile wingu, ikisema: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa, ambaye nimemkubali;+ msikilizeni.”+ Marko 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na wingu likatokea, likawafunika, na sauti+ ikatoka katika lile wingu: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa; msikilizeni.”+ Luka 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na sauti ikatoka katika lile wingu,+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu, ambaye amechaguliwa.+ Msikilizeni.”+
7 Acheni nirejezee agizo la Yehova;Yeye ameniambia: “Wewe ni mwanangu;+Mimi, leo, nimekuwa baba yako.+
5 Alipokuwa bado akisema, tazama! wingu jangavu liliwafunika, na, tazama! kulikuwa na sauti kutoka katika lile wingu, ikisema: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa, ambaye nimemkubali;+ msikilizeni.”+
7 Na wingu likatokea, likawafunika, na sauti+ ikatoka katika lile wingu: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa; msikilizeni.”+
35 Na sauti ikatoka katika lile wingu,+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu, ambaye amechaguliwa.+ Msikilizeni.”+