14 Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake,+ na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu.+ Atakapofanya makosa, nitamkaripia kwa fimbo+ ya wanadamu na kwa mapigo ya wana wa Adamu.
4 lakini ambaye kwa nguvu+ alitangazwa kuwa Mwana wa Mungu+ kulingana na roho+ ya utakatifu kwa njia ya ufufuo kutoka kwa wafu+—ndiyo, Yesu Kristo Bwana wetu,
5 Kwa mfano, alipata kumwambia nani kati ya malaika: “Wewe ni mwanangu; mimi, leo, nimekuwa baba yako”?+ Na tena: “Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake, na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu”?+
5 Vivyo hivyo pia Kristo hakujitukuza mwenyewe+ kwa kuwa kuhani mkuu,+ bali alitukuzwa+ na yeye aliyesema hivi kumhusu: “Wewe ni mwanangu; mimi, leo, nimekuwa baba yako.”+