Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Lakini ikiwa hamtanisikiliza ijapokuwa mambo yote hayo, ndipo nitawatia adabu mara saba zaidi kwa sababu ya dhambi zenu.+

  • 1 Wafalme 8:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 “Nao wakikutendea dhambi+ (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie na kuwatia mkononi mwa adui, na wenye kuwateka wawachukue mateka na kuwapeleka katika nchi ya adui iliyo mbali au iliyo karibu;+

  • Zaburi 89:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Wanawe wakiiacha sheria yangu+

      Nao wasitembee katika maamuzi yangu ya hukumu,+

  • Zaburi 89:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mimi pia nitaelekeza fikira zangu kwenye ukosaji wao kwa fimbo+

      Na kwenye kosa lao kwa mapigo.+

  • Yeremia 52:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana hayo yalitukia katika Yerusalemu na Yuda kwa sababu ya hasira ya Yehova, mpaka alipokuwa amewatupa kutoka mbele za uso wake.+ Na Sedekia akaanza kumwasi mfalme wa Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki