Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tazama! Nilizaliwa kwa maumivu nikiwa na kosa,+

      Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.+

  • Zaburi 130:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kama ungekuwa unaangalia makosa,+ Ee Yah,

      Ee Yehova, ni nani angesimama?+

  • Zaburi 143:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wala usiingie katika hukumu pamoja na mtumishi wako;+

      Kwa maana mbele zako, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kuwa mwadilifu.+

  • Methali 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ni nani anayeweza kusema: “Nimeusafisha moyo wangu;+ mimi nimekuwa safi kutokana na dhambi yangu”?+

  • Mhubiri 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana hakuna mwanadamu aliye mwadilifu duniani ambaye huendelea kufanya mema na asifanye dhambi.+

  • Isaya 53:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sisi sote tumeenda huku na huku kama kondoo;+ sisi tumegeuka kwenda kila mmoja kwenye njia yake; na Yehova amefanya kosa letu sote likutane na huyo.+

  • Waroma 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana wote wamefanya dhambi+ na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+

  • Wagalatia 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini Andiko+ liliyafunga mambo yote pamoja katika kifungo cha dhambi,+ ili ahadi inayotokana na imani kumwelekea Yesu Kristo ipewe wale wanaoamini.+

  • 1 Yohana 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kama tukisema: “Sisi hatuna dhambi yoyote,”+ tunajipotosha wenyewe+ na kweli haimo ndani yetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki