Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ndiyo, umefungua macho yako juu ya huyu,

      Nami unanitia katika hukumu+ pamoja na wewe.

  • Waroma 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa mwadilifu+ kutokana na matendo ya sheria+ mbele zake, kwa maana ujuzi sahihi juu ya dhambi ni kwa njia ya sheria.+

  • Wagalatia 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 tukijua kama vile tunavyojua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu,+ si kwa sababu ya matendo ya sheria, bali tu kupitia imani+ kumwelekea Kristo Yesu, hata sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tutangazwe kuwa waadilifu kutokana na imani kumwelekea Kristo,+ na si kutokana na matendo ya sheria, kwa sababu hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa mwadilifu kutokana na matendo ya sheria.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki