Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana ikiwa kwa kosa la mtu mmoja+ kifo kilitawala kama mfalme+ kupitia mtu huyo, wale wanaopokea wingi wa fadhili zisizostahiliwa+ na zawadi ya bure+ ya uadilifu watatawala hata zaidi wakiwa wafalme+ katika uzima kupitia mtu mmoja, Yesu Kristo.+

  • 1 Wakorintho 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na bado wengine wenu mlikuwa hivyo.+ Lakini mmeoshwa mkawa safi,+ lakini mmetakaswa,+ lakini mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo+ na kwa roho ya Mungu wetu.+

  • Waebrania 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana Sheria haikufanya kitu chochote kuwa kikamilifu,+ lakini kuingizwa kwa tumaini+ bora kulifanya mambo yawe makamilifu, ambalo kupitia hilo tunamkaribia Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki