Yohana 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yesu akamwambia: “Yule ambaye ameoga+ hahitaji kuoshwa zaidi ya miguu yake, bali yuko safi mwili wote. Nanyi mko safi, lakini si ninyi nyote.” Matendo 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na sasa kwa nini unakawia? Simama, ubatizwe+ na uoshe+ dhambi zako kwa kuliitia jina lake.’+ Waebrania 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo ya kweli katika uhakikisho kamili wa imani, mioyo yetu ikiisha kunyunyizwa kutokana na dhamiri+ ya uovu na miili yetu kuoshwa kwa maji safi.+
10 Yesu akamwambia: “Yule ambaye ameoga+ hahitaji kuoshwa zaidi ya miguu yake, bali yuko safi mwili wote. Nanyi mko safi, lakini si ninyi nyote.”
22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo ya kweli katika uhakikisho kamili wa imani, mioyo yetu ikiisha kunyunyizwa kutokana na dhamiri+ ya uovu na miili yetu kuoshwa kwa maji safi.+