Waefeso 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 ili alitakase,+ akilisafisha na kuliosha kwa maji kwa njia ya neno,+ 2 Wathesalonike 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata hivyo, sisi tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, akina ndugu mnaopendwa na Yehova, kwa sababu Mungu aliwachagua+ ninyi tangu mwanzo kwa ajili ya wokovu kwa kuwatakasa+ ninyi kwa roho+ na kwa imani yenu katika kweli.+
13 Hata hivyo, sisi tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, akina ndugu mnaopendwa na Yehova, kwa sababu Mungu aliwachagua+ ninyi tangu mwanzo kwa ajili ya wokovu kwa kuwatakasa+ ninyi kwa roho+ na kwa imani yenu katika kweli.+