Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 8:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+

  • Wakolosai 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa sababu ya tumaini+ ambalo linawekwa akiba kwa ajili yenu mbinguni.+ Tumaini hili mlilisikia hapo mbele kupitia kutangazwa kwa ile kweli ya habari njema+

  • 1 Timotheo 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 wakikataza kufunga ndoa,+ wakiamuru kujiepusha na vyakula+ ambavyo Mungu aliumba+ viliwe kwa kutoa shukrani na wale walio na imani+ na wanaoijua kweli kwa usahihi.

  • 2 Yohana 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa sababu ya kweli ambayo inakaa ndani yetu,+ nayo itakuwa pamoja nasi milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki