Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 macho+ ya moyo wenu yakiwa yametiwa nuru,+ ili mjue jinsi lilivyo lile tumaini+ alilowaitia, jinsi ulivyo utajiri wenye utukufu+ ambao amewawekea watakatifu kuwa urithi,+

  • 2 Timotheo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tangu wakati huu na kuendelea nimewekewa akiba ya taji la uadilifu,+ ambalo Bwana, aliye mwamuzi mwadilifu,+ atanipa kuwa thawabu+ katika siku ile,+ lakini si mimi tu, bali pia na wale wote ambao wamependa kufunuliwa kwake.

  • Waebrania 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tumaini+ hilo tunalo kama nanga ya nafsi, likiwa hakika na imara, nalo huingia mle ndani ya pazia,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki