-
2 Timotheo 4:8Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
8 Tangu wakati huu na kuendelea kumewekwa akiba kwa ajili yangu taji la uadilifu, ambalo Bwana, aliye hakimu mwadilifu, atanipa kuwa zawadi katika siku ile, lakini si mimi tu, bali pia wale wote ambao wamependa udhihirisho wake.
-