25 Sasa kila mtu anayeshiriki katika shindano* hujizuia* katika mambo yote. Bila shaka, wao hushindana ili wapate taji linaloweza kuharibika,+ lakini sisi taji lisiloharibika.+
12 Mwenye furaha ni yule anayeendelea kuvumilia jaribu,+ kwa sababu atakapokubaliwa atapokea taji la uzima,+ ambalo Yehova* aliwaahidi wale wanaoendelea kumpenda.+