1 Wakorintho 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini kama yeyote akiona kwamba anajiendesha isivyofaa kuelekea ubikira+ wake, ikiwa huo umepita upeo wa ujana, na hivyo ndivyo inavyopaswa kutendeka, acheni afanye lile analotaka; hafanyi dhambi. Acheni afunge ndoa.+ 1 Wakorintho 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sisi tuna mamlaka ya kumchukua pamoja nasi dada akiwa mke,+ hata kama vile mitume wale wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,+ sivyo? Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+
36 Lakini kama yeyote akiona kwamba anajiendesha isivyofaa kuelekea ubikira+ wake, ikiwa huo umepita upeo wa ujana, na hivyo ndivyo inavyopaswa kutendeka, acheni afanye lile analotaka; hafanyi dhambi. Acheni afunge ndoa.+
5 Sisi tuna mamlaka ya kumchukua pamoja nasi dada akiwa mke,+ hata kama vile mitume wale wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,+ sivyo?
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+