Yohana 6:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hakuna mtu anayeweza kuja kwangu isipokuwa Baba, aliyenituma, amvute;+ nami nitamfufua siku ya mwisho.+ Waroma 8:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Zaidi ya hayo, wale aliowaagiza kimbele+ hao ndio aliowaita+ pia; na wale aliowaita hao ndio aliowatangaza kuwa waadilifu+ pia. Mwishowe wale aliowatangaza kuwa waadilifu hao ndio aliowatukuza pia.+ Waefeso 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kama vile alivyotuchagua+ katika muungano naye kabla ya kuwekwa msingi+ wa ulimwengu, ili tuwe watakatifu na bila dosari+ mbele zake katika upendo.+
44 Hakuna mtu anayeweza kuja kwangu isipokuwa Baba, aliyenituma, amvute;+ nami nitamfufua siku ya mwisho.+
30 Zaidi ya hayo, wale aliowaagiza kimbele+ hao ndio aliowaita+ pia; na wale aliowaita hao ndio aliowatangaza kuwa waadilifu+ pia. Mwishowe wale aliowatangaza kuwa waadilifu hao ndio aliowatukuza pia.+
4 kama vile alivyotuchagua+ katika muungano naye kabla ya kuwekwa msingi+ wa ulimwengu, ili tuwe watakatifu na bila dosari+ mbele zake katika upendo.+