Waefeso 5:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari,+ likiwa bila doa au kunyanzi au lolote la mambo hayo, bali ili liwe takatifu na bila dosari.+ Wakolosai 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 yeye sasa amewapatanisha+ tena kwa njia ya mwili wenye nyama wa huyo kupitia kifo chake,+ ili awatoe ninyi mkiwa watakatifu na wasio na dosari+ na bila shtaka+ lolote mbele zake,
27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari,+ likiwa bila doa au kunyanzi au lolote la mambo hayo, bali ili liwe takatifu na bila dosari.+
22 yeye sasa amewapatanisha+ tena kwa njia ya mwili wenye nyama wa huyo kupitia kifo chake,+ ili awatoe ninyi mkiwa watakatifu na wasio na dosari+ na bila shtaka+ lolote mbele zake,