7 Zaidi ya hayo, ikiwa sheria ambazo hutoa kifo+ na ambazo zilichongwa kwa herufi katika mawe+ zilikuja kwa utukufu,+ hivi kwamba wana wa Israeli hawakuweza kuutazama uso wa Musa kwa sababu ya utukufu wa uso wake,+ utukufu ambao ungekuja kuondolewa mbali,