Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Zaidi ya hayo, ikiwa sheria ambazo hutoa kifo+ na ambazo zilichongwa kwa herufi katika mawe+ zilikuja kwa utukufu,+ hivi kwamba wana wa Israeli hawakuweza kuutazama uso wa Musa kwa sababu ya utukufu wa uso wake,+ utukufu ambao ungekuja kuondolewa mbali,

  • 2 Wakorintho 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na sisi sote,+ wakati tunapotoa kama vioo mrudisho wa utukufu wa Yehova+ tukiwa na nyuso zisizo na utaji, tunageuzwa+ na kuwa katika mfano+ uleule kutoka utukufu mpaka utukufu,+ sawasawa kabisa na anavyofanya Yehova+ aliye Roho.

  • 2 Wakorintho 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi+ wenye utukufu juu ya Mungu kwa uso wa Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki