Yohana 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+ Wagalatia 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ili awaachilie huru kwa kuwanunua+ wale walio chini ya sheria,+ ili sisi nasi tufanywe kuwa wana.+
12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+