1 Wakorintho 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mlinunuliwa kwa bei;+ acheni kuwa watumwa+ wa wanadamu. Wagalatia 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kristo kwa kutununua+ alituachilia huru+ kutoka katika laana ya Sheria kwa yeye kuwa laana+ badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa juu ya mti.”+
13 Kristo kwa kutununua+ alituachilia huru+ kutoka katika laana ya Sheria kwa yeye kuwa laana+ badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa juu ya mti.”+