Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+

  • Waroma 8:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Si hilo tu, bali sisi wenyewe pia tulio na matunda ya kwanza,+ yaani, ile roho, ndiyo, sisi wenyewe tunaugua+ ndani yetu wenyewe, huku tukingojea kwa bidii kufanywa kuwa wana,+ kuachiliwa huru kutoka katika miili yetu kwa njia ya fidia.

  • 2 Wakorintho 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “ ‘Nami nitakuwa baba kwenu,+ nanyi mtakuwa wana na mabinti kwangu,’+ asema Yehova Mweza-Yote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki