Isaya 43:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitaiambia kaskazini,+ ‘Toa!’ na kusini, ‘Usizuie. Walete wanangu kutoka mbali, na binti zangu kutoka mwisho wa dunia,+ Hosea 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Na hesabu ya wana wa Israeli itakuwa kama chembe za mchanga wa bahari ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na itakuwa kwamba mahali ambapo walikuwa wakiambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’+ wataambiwa, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+ Yohana 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+
6 Nitaiambia kaskazini,+ ‘Toa!’ na kusini, ‘Usizuie. Walete wanangu kutoka mbali, na binti zangu kutoka mwisho wa dunia,+
10 “Na hesabu ya wana wa Israeli itakuwa kama chembe za mchanga wa bahari ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na itakuwa kwamba mahali ambapo walikuwa wakiambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’+ wataambiwa, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+
12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+