Waroma 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Roho+ yenyewe hutoa ushahidi+ pamoja na roho+ yetu kwamba sisi ni watoto wa Mungu.+ 2 Wakorintho 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “ ‘Nami nitakuwa baba kwenu,+ nanyi mtakuwa wana na mabinti kwangu,’+ asema Yehova Mweza-Yote.”+ Waefeso 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana alituagiza kimbele+ ili tufanywe kuwa wana+ kwake kupitia Yesu Kristo,+ kulingana na upendezi mwema wa mapenzi yake,+ 1 Yohana 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Oneni namna ya upendo+ ambao Baba ametupa sisi, ili tuitwe watoto wa Mungu;+ na sisi ndivyo tulivyo. Ndiyo sababu ulimwengu+ hautujui sisi, kwa sababu haumjui yeye.+
5 Kwa maana alituagiza kimbele+ ili tufanywe kuwa wana+ kwake kupitia Yesu Kristo,+ kulingana na upendezi mwema wa mapenzi yake,+
3 Oneni namna ya upendo+ ambao Baba ametupa sisi, ili tuitwe watoto wa Mungu;+ na sisi ndivyo tulivyo. Ndiyo sababu ulimwengu+ hautujui sisi, kwa sababu haumjui yeye.+