15 Kwa maana hamkupokea roho ya utumwa inayosababisha woga+ tena, bali mlipokea roho+ ya kufanywa kuwa wana,+ roho ambayo kupitia hiyo tunapaaza sauti: “Abba,+ Baba!”
29 kwa sababu wale aliowapa utambuzi+ wake wa kwanza pia aliwaagiza kimbele+ wafananishwe+ na mfano+ wa Mwana wake, ili awe mzaliwa wa kwanza+ kati ya ndugu+ wengi.