1 Wakorintho 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi sisi tulipokea, si roho+ ya ulimwengu, bali roho+ inayotoka kwa Mungu, ili tuyajue mambo ambayo Mungu ametupa sisi kwa fadhili.+ 2 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye pia ametia muhuri+ wake juu yetu naye ametupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho,+ katika mioyo yetu. 2 Timotheo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Mungu hakutupa sisi roho ya woga,+ bali ile ya nguvu+ na ya upendo na ya utimamu wa akili.+
12 Basi sisi tulipokea, si roho+ ya ulimwengu, bali roho+ inayotoka kwa Mungu, ili tuyajue mambo ambayo Mungu ametupa sisi kwa fadhili.+
22 Yeye pia ametia muhuri+ wake juu yetu naye ametupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho,+ katika mioyo yetu.
7 Kwa maana Mungu hakutupa sisi roho ya woga,+ bali ile ya nguvu+ na ya upendo na ya utimamu wa akili.+