2 Wakorintho 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi yeye aliyetutokeza kwa ajili ya jambo hili ni Mungu,+ aliyetupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho.+ Waefeso 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ambayo ni rehani+ ya kimbele ya urithi+ wetu, kwa kusudi la kuiachilia huru kupitia fidia+ mali+ ya Mungu mwenyewe, kwa sifa yake yenye utukufu.
5 Basi yeye aliyetutokeza kwa ajili ya jambo hili ni Mungu,+ aliyetupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho.+
14 ambayo ni rehani+ ya kimbele ya urithi+ wetu, kwa kusudi la kuiachilia huru kupitia fidia+ mali+ ya Mungu mwenyewe, kwa sifa yake yenye utukufu.