2 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye pia ametia muhuri+ wake juu yetu naye ametupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho,+ katika mioyo yetu. Waefeso 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ambayo ni rehani+ ya kimbele ya urithi+ wetu, kwa kusudi la kuiachilia huru kupitia fidia+ mali+ ya Mungu mwenyewe, kwa sifa yake yenye utukufu.
22 Yeye pia ametia muhuri+ wake juu yetu naye ametupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho,+ katika mioyo yetu.
14 ambayo ni rehani+ ya kimbele ya urithi+ wetu, kwa kusudi la kuiachilia huru kupitia fidia+ mali+ ya Mungu mwenyewe, kwa sifa yake yenye utukufu.