Luka 24:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Na, tazameni! ninatuma juu yenu kile ambacho kimeahidiwa na Baba yangu. Ingawa hivyo, ninyi kaeni katika jiji mpaka mvikwe nguvu kutoka juu.”+ Matendo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 lakini mtapokea nguvu+ wakati roho takatifu itakapofika juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu+ na pia katika Yudea yote na Samaria+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”+ 1 Wakorintho 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana neno juu ya mti wa mateso ni upumbavu+ kwa wale wanaoangamia,+ lakini kwetu sisi tunaookolewa+ ni nguvu za Mungu.+
49 Na, tazameni! ninatuma juu yenu kile ambacho kimeahidiwa na Baba yangu. Ingawa hivyo, ninyi kaeni katika jiji mpaka mvikwe nguvu kutoka juu.”+
8 lakini mtapokea nguvu+ wakati roho takatifu itakapofika juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu+ na pia katika Yudea yote na Samaria+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”+
18 Kwa maana neno juu ya mti wa mateso ni upumbavu+ kwa wale wanaoangamia,+ lakini kwetu sisi tunaookolewa+ ni nguvu za Mungu.+