28 “Kisha itakuwa kwamba nitaimimina roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili,+ na wana wenu na binti+ zenu watatoa unabii. Nao wazee wenu wataota ndoto. Nao wanaume wenu vijana wataona maono.
4 Naye alipokuwa akikutana pamoja nao aliwapa maagizo haya: “Msiondoke Yerusalemu,+ bali endeleeni kungojea kile ambacho Baba ameahidi,+ ambacho mlisikia juu yake kutoka kwangu;