26 Wakati atakapofika msaidizi ambaye nitawapelekea ninyi kutoka kwa Baba,+ roho ya ile kweli, ambayo inatoka kwa Baba, huyo atatoa ushahidi juu yangu;+
7 Hata hivyo, ninawaambia ninyi kweli, ninaenda zangu kwa faida yenu. Kwa maana nisipoenda zangu, msaidizi+ hatakuja kwenu kamwe; bali nikienda zangu, nitamtuma kwenu.
26 Vivyo hivyo roho+ pia hujiunga kutoa msaada kwa ajili ya udhaifu wetu;+ kwa maana lile tatizo kuhusu tunalohitaji kusali hatujui,+ lakini roho+ yenyewe hutuombea pamoja na kuugua kusikotamkwa.