Matendo 10:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwa maana waliwasikia wakisema katika lugha na wakimtukuza Mungu.+ Ndipo Petro akajibu: 1 Wakorintho 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 mwingine bado hupewa utendaji wa matendo yenye nguvu,+ mwingine kutoa unabii,+ mwingine utambuzi+ wa maneno yaliyoongozwa na roho,+ mwingine lugha+ tofauti, na mwingine fasiri+ ya lugha.
10 mwingine bado hupewa utendaji wa matendo yenye nguvu,+ mwingine kutoa unabii,+ mwingine utambuzi+ wa maneno yaliyoongozwa na roho,+ mwingine lugha+ tofauti, na mwingine fasiri+ ya lugha.