Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 12:1

Marejeo

  • +1Ko 14:1, 37

1 Wakorintho 12:2

Marejeo

  • +Efe 2:12
  • +1Ko 8:4; Gal 4:8; 1Th 1:9; 1Pe 4:3
  • +Zb 115:5; Hab 2:18

1 Wakorintho 12:3

Marejeo

  • +Mk 9:39; 1Yo 4:3
  • +Mt 16:17; 1Yo 4:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2007, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 7/15 21

1 Wakorintho 12:4

Marejeo

  • +Ebr 2:4; 1Pe 4:10
  • +Efe 4:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Utatu, uku. 23

1 Wakorintho 12:5

Marejeo

  • +Ro 12:7; Efe 4:11
  • +Efe 4:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Utatu, uku. 23

1 Wakorintho 12:6

Marejeo

  • +Mdo 2:43
  • +Efe 4:6
  • +1Pe 4:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2011, kur. 24-25

    Utatu, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 12/15 24-25

1 Wakorintho 12:7

Marejeo

  • +1Ko 14:26; Efe 4:7

1 Wakorintho 12:8

Marejeo

  • +Efe 1:17
  • +1Ko 14:6; 2Ko 8:7

1 Wakorintho 12:9

Marejeo

  • +1Ko 13:2; 2Ko 4:13
  • +Mdo 3:7; 28:9

1 Wakorintho 12:10

Marejeo

  • +Ebr 2:4
  • +Ro 12:6
  • +1Ko 14:29
  • +1Yo 4:1
  • +Mdo 10:46; 1Ko 14:18
  • +1Ko 14:26

1 Wakorintho 12:11

Marejeo

  • +1Ko 12:6
  • +Ro 12:3; 1Ko 7:7; Efe 4:7
  • +Ebr 2:4

1 Wakorintho 12:12

Marejeo

  • +Ro 12:5
  • +Ro 7:4; 1Ko 10:16; Efe 4:12

1 Wakorintho 12:13

Marejeo

  • +Efe 4:5
  • +Yoh 4:14; 7:37; Ufu 22:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 110

    Ufahamu,

    Ufahamu,

1 Wakorintho 12:14

Marejeo

  • +Efe 4:16

1 Wakorintho 12:15

Marejeo

  • +Efe 4:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2020, kur. 23-24

1 Wakorintho 12:16

Marejeo

  • +Efe 5:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2020, kur. 23-24

1 Wakorintho 12:18

Marejeo

  • +Met 20:12; 1Ko 15:38

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wakorintho 12:19

Marejeo

  • +Ro 12:4; 1Ko 12:14

1 Wakorintho 12:20

Marejeo

  • +1Ko 12:14

1 Wakorintho 12:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1996, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 7/15 20

1 Wakorintho 12:22

Marejeo

  • +Mhu 9:15; Ro 9:23; 1Ko 1:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2014, uku. 24

    10/15/1997, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 10/15 14-15

1 Wakorintho 12:23

Marejeo

  • +Mwa 3:7, 21; 2Ti 2:20

1 Wakorintho 12:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1999, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 2/15 20

1 Wakorintho 12:25

Marejeo

  • +Ro 12:10; Efe 4:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 19

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2007, uku. 20

    5/15/2004, uku. 19

    10/15/1986, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/15 20; w04 5/15 19

1 Wakorintho 12:26

Marejeo

  • +Gal 6:2; Ebr 13:3; 1Pe 5:9
  • +Ro 8:17
  • +Ro 12:15; 1Pe 3:8; 4:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 19

1 Wakorintho 12:27

Marejeo

  • +Ro 12:5; Efe 1:23; Kol 1:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1995, uku. 11

1 Wakorintho 12:28

Marejeo

  • +1Ko 12:18
  • +Efe 2:20
  • +Mdo 13:1
  • +Efe 4:11
  • +Gal 3:5
  • +Mdo 5:16
  • +Mdo 18:27
  • +Ro 12:8; 1Ko 3:10; Ebr 13:17
  • +Mdo 2:6

1 Wakorintho 12:30

Marejeo

  • +1Ko 14:4
  • +1Ko 14:5

1 Wakorintho 12:31

Marejeo

  • +1Ko 14:1
  • +1Ko 13:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2009, kur. 26-27

    2/15/1999, kur. 22-23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 12/15 26-27; w99 2/15 22-23

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 12:11Ko 14:1, 37
1 Kor. 12:2Efe 2:12
1 Kor. 12:21Ko 8:4; Gal 4:8; 1Th 1:9; 1Pe 4:3
1 Kor. 12:2Zb 115:5; Hab 2:18
1 Kor. 12:3Mk 9:39; 1Yo 4:3
1 Kor. 12:3Mt 16:17; 1Yo 4:2
1 Kor. 12:4Ebr 2:4; 1Pe 4:10
1 Kor. 12:4Efe 4:4
1 Kor. 12:5Ro 12:7; Efe 4:11
1 Kor. 12:5Efe 4:5
1 Kor. 12:6Mdo 2:43
1 Kor. 12:6Efe 4:6
1 Kor. 12:61Pe 4:11
1 Kor. 12:71Ko 14:26; Efe 4:7
1 Kor. 12:8Efe 1:17
1 Kor. 12:81Ko 14:6; 2Ko 8:7
1 Kor. 12:91Ko 13:2; 2Ko 4:13
1 Kor. 12:9Mdo 3:7; 28:9
1 Kor. 12:10Ebr 2:4
1 Kor. 12:10Ro 12:6
1 Kor. 12:101Ko 14:29
1 Kor. 12:101Yo 4:1
1 Kor. 12:10Mdo 10:46; 1Ko 14:18
1 Kor. 12:101Ko 14:26
1 Kor. 12:111Ko 12:6
1 Kor. 12:11Ro 12:3; 1Ko 7:7; Efe 4:7
1 Kor. 12:11Ebr 2:4
1 Kor. 12:12Ro 12:5
1 Kor. 12:12Ro 7:4; 1Ko 10:16; Efe 4:12
1 Kor. 12:13Efe 4:5
1 Kor. 12:13Yoh 4:14; 7:37; Ufu 22:17
1 Kor. 12:14Efe 4:16
1 Kor. 12:15Efe 4:25
1 Kor. 12:16Efe 5:30
1 Kor. 12:18Met 20:12; 1Ko 15:38
1 Kor. 12:19Ro 12:4; 1Ko 12:14
1 Kor. 12:201Ko 12:14
1 Kor. 12:22Mhu 9:15; Ro 9:23; 1Ko 1:26
1 Kor. 12:23Mwa 3:7, 21; 2Ti 2:20
1 Kor. 12:25Ro 12:10; Efe 4:25
1 Kor. 12:26Gal 6:2; Ebr 13:3; 1Pe 5:9
1 Kor. 12:26Ro 8:17
1 Kor. 12:26Ro 12:15; 1Pe 3:8; 4:13
1 Kor. 12:27Ro 12:5; Efe 1:23; Kol 1:24
1 Kor. 12:281Ko 12:18
1 Kor. 12:28Efe 2:20
1 Kor. 12:28Mdo 13:1
1 Kor. 12:28Efe 4:11
1 Kor. 12:28Gal 3:5
1 Kor. 12:28Mdo 5:16
1 Kor. 12:28Mdo 18:27
1 Kor. 12:28Ro 12:8; 1Ko 3:10; Ebr 13:17
1 Kor. 12:28Mdo 2:6
1 Kor. 12:301Ko 14:4
1 Kor. 12:301Ko 14:5
1 Kor. 12:311Ko 14:1
1 Kor. 12:311Ko 13:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 12:1-31

1 Wakorintho

12 Basi kuhusu zawadi za kiroho,+ akina ndugu, sitaki mkose kujua. 2 Mnajua kwamba mlipokuwa watu wa mataifa,+ mlikuwa mkiongozwa kwenye zile sanamu+ zisizo na sauti+ kama vile mlivyoongozwa. 3 Kwa hiyo ningetaka mjue kwamba hakuna mtu yeyote ambaye anaposema kwa roho ya Mungu, husema: “Yesu amelaaniwa!”+ na hakuna mtu anayeweza kusema: “Yesu ni Bwana!” isipokuwa kwa roho takatifu.+

4 Basi kuna zawadi za namna mbalimbali,+ lakini kuna roho ileile;+ 5 na kuna huduma+ za namna mbalimbali, na bado kuna Bwana+ yuleyule; 6 na kuna utendaji wa namna mbalimbali,+ na bado ni Mungu yuleyule+ anayefanya utendaji wote katika watu wote.+ 7 Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa roho kwa kusudi lenye faida.+ 8 Kwa mfano, mtu mmoja hupewa maneno ya hekima+ kupitia roho, mwingine maneno ya ujuzi+ kulingana na roho ileile, 9 mwingine imani+ kwa roho ileile, mwingine zawadi za maponyo+ kwa roho moja hiyo, 10 mwingine bado hupewa utendaji wa matendo yenye nguvu,+ mwingine kutoa unabii,+ mwingine utambuzi+ wa maneno yaliyoongozwa na roho,+ mwingine lugha+ tofauti, na mwingine fasiri+ ya lugha. 11 Lakini ni roho ileile moja inayofanya utendaji huu wote,+ ikimgawia+ kila mtu mmoja mmoja kama vile inavyopenda.+

12 Kwa maana kama vile mwili ni mmoja lakini una viungo vingi, na viungo vyote vya mwili huo, ijapokuwa ni vingi, ni mwili+ mmoja, ndivyo pia alivyo Kristo.+ 13 Kwa kweli kwa roho moja sote tulibatizwa+ katika mwili mmoja, kama ni Wayahudi au ni Wagiriki, kama ni watumwa au ni walio huru, nasi sote tulinyweshwa+ roho moja.

14 Kwa maana mwili, kwa kweli, si kiungo kimoja, bali vingi.+ 15 Kama mguu ungesema: “Kwa sababu mimi si mkono, mimi si sehemu ya mwili,” sababu hiyo haiufanyi usiwe sehemu ya mwili.+ 16 Na kama sikio lingesema: “Kwa sababu mimi si jicho, mimi si sehemu ya mwili,” sababu hiyo hailifanyi lisiwe sehemu ya mwili.+ 17 Kama mwili wote ungekuwa jicho, kusikia kungekuwa wapi? Kama huo wote ungekuwa kusikia, kunusa kungekuwa wapi? 18 Lakini sasa Mungu ameviweka viungo katika mwili, kila kimoja, kama vile alivyopenda.+

19 Kama vyote vingekuwa kiungo kimoja,+ mwili ungekuwa wapi? 20 Lakini sasa hivyo ni viungo vingi,+ lakini mwili mmoja. 21 Jicho haliwezi kuuambia mkono: “Sikuhitaji wewe”; au, tena, kichwa hakiwezi kuiambia miguu: “Siwahitaji ninyi.” 22 Lakini badala yake ni kwamba vile viungo vya mwili vinavyoonekana kuwa dhaifu+ zaidi ni vya lazima, 23 na zile sehemu za mwili ambazo tunafikiri kuwa zina heshima kidogo, hizo tunazizungushia heshima nyingi zaidi,+ na kwa hiyo sehemu zetu ambazo huonekana kuwa hazivutii zinapendeza zaidi, 24 lakini sehemu zetu zenye kupendeza hazihitaji kitu chochote. Hata hivyo, Mungu aliuungamanisha mwili, akiipa heshima iliyo nyingi zaidi sehemu iliyokuwa na upungufu, 25 ili kusiwe na mgawanyiko katika mwili, bali ili viungo vyake vitunzane+ kwa njia ileile. 26 Na kiungo kimoja kikiumia, vile viungo vingine vyote huumia+ pamoja nacho; au kiungo kimoja kikitukuzwa,+ vile viungo vingine vyote hushangilia pamoja nacho.+

27 Basi ninyi ni mwili wa Kristo, nanyi ni viungo mkiwa mmoja-mmoja.+ 28 Naye Mungu amewaweka watu mbalimbali katika kutaniko,+ kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu, walimu,+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za maponyo;+ utumishi wenye msaada,+ uwezo wa kuelekeza,+ lugha tofauti.+ 29 Je, wote ni mitume? Je, wote ni manabii? Je, wote ni walimu? Je, wote hufanya matendo yenye nguvu? 30 Je, wote wana zawadi za maponyo? Je, wote husema kwa lugha?+ Je, wote ni watafsiri?+ 31 Lakini endeleeni kutafuta kwa bidii zawadi+ zilizo kubwa zaidi. Na bado nawaonyesha ninyi njia iliyo bora zaidi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki