1 Wakorintho 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi, nini lifanywe akina ndugu? Mnapokuja pamoja, mmoja ana zaburi, mwingine ana fundisho, mwingine ana ufunuo, mwingine ana lugha, mwingine ana fasiri.+ Mambo yote na yatendeke kwa ajili ya kujenga.+ Waefeso 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi kila mmoja wetu alipewa fadhili zisizostahiliwa+ kulingana na jinsi Kristo alivyoipima hiyo zawadi ya bure.+
26 Basi, nini lifanywe akina ndugu? Mnapokuja pamoja, mmoja ana zaburi, mwingine ana fundisho, mwingine ana ufunuo, mwingine ana lugha, mwingine ana fasiri.+ Mambo yote na yatendeke kwa ajili ya kujenga.+
7 Basi kila mmoja wetu alipewa fadhili zisizostahiliwa+ kulingana na jinsi Kristo alivyoipima hiyo zawadi ya bure.+