Mwanzo 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo macho yao wote wawili yakafunguliwa nao wakaanza kutambua kwamba walikuwa uchi.+ Kwa hiyo wakashona majani ya mtini ya kujifunika kiunoni.+ Mwanzo 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na Yehova Mungu akawafanyia Adamu na mke wake mavazi marefu ya ngozi, akawavika.+ 2 Timotheo 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi ndani ya nyumba kubwa mna vyombo vya dhahabu na fedha, na pia mna vyombo vya miti na vya udongo, na vingine ni kwa ajili ya kusudi lenye kuheshimika lakini vingine ni kwa ajili ya kusudi lenye kukosa heshima.+
7 Ndipo macho yao wote wawili yakafunguliwa nao wakaanza kutambua kwamba walikuwa uchi.+ Kwa hiyo wakashona majani ya mtini ya kujifunika kiunoni.+
20 Basi ndani ya nyumba kubwa mna vyombo vya dhahabu na fedha, na pia mna vyombo vya miti na vya udongo, na vingine ni kwa ajili ya kusudi lenye kuheshimika lakini vingine ni kwa ajili ya kusudi lenye kukosa heshima.+