Mwanzo 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo macho yao wote wawili yakafunguliwa nao wakaanza kutambua kwamba walikuwa uchi.+ Kwa hiyo wakashona majani ya mtini ya kujifunika kiunoni.+ Ufunuo 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ninakushauri ununue kutoka kwangu dhahabu+ iliyosafishwa kwa moto ili uwe tajiri, na mavazi meupe ya nje ili uvikwe na kwamba aibu ya uchi wako isifunuliwe,+ na dawa ya macho ya kupaka katika macho+ yako ili upate kuona.
7 Ndipo macho yao wote wawili yakafunguliwa nao wakaanza kutambua kwamba walikuwa uchi.+ Kwa hiyo wakashona majani ya mtini ya kujifunika kiunoni.+
18 ninakushauri ununue kutoka kwangu dhahabu+ iliyosafishwa kwa moto ili uwe tajiri, na mavazi meupe ya nje ili uvikwe na kwamba aibu ya uchi wako isifunuliwe,+ na dawa ya macho ya kupaka katika macho+ yako ili upate kuona.