Ayubu 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana yeye anajua vema ile njia ninayoenda.+Baada ya yeye kunijaribu, nitatoka nikiwa kama dhahabu.+ 1 Petro 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ili sifa iliyojaribiwa ya imani+ yenu, iliyo na thamani kubwa zaidi kuliko dhahabu ambayo huharibika ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto,+ ipatikane kuwa sababu ya sifa na utukufu na heshima wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.
10 Kwa maana yeye anajua vema ile njia ninayoenda.+Baada ya yeye kunijaribu, nitatoka nikiwa kama dhahabu.+
7 ili sifa iliyojaribiwa ya imani+ yenu, iliyo na thamani kubwa zaidi kuliko dhahabu ambayo huharibika ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto,+ ipatikane kuwa sababu ya sifa na utukufu na heshima wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.