Mwanzo 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo macho yao wote wawili yakafunguliwa, nao wakatambua kwamba walikuwa uchi. Kwa hiyo wakayafunga pamoja majani ya mtini na kujitengenezea mavazi ya kujifunika kiunoni.+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:7 Mnara wa Mlinzi (Funzo),3/2019, kur. 5-6
7 Ndipo macho yao wote wawili yakafunguliwa, nao wakatambua kwamba walikuwa uchi. Kwa hiyo wakayafunga pamoja majani ya mtini na kujitengenezea mavazi ya kujifunika kiunoni.+